Social Icons

Thursday, August 25, 2011

Mahusiano - Vyakula vya Kuleta Ashki

Moja ya vitu ambavyo humfanya mtu kuwa na furaha na maisha mazuri ni ubashashi unaombatana na kuondoka kwa mikonjo ya moyo kwa kupata huduma ya ngono.

Nyingi ya dawa zinazoleta hamu ya ngono puia husaidia kurekebisha mfumo wa afya ya mwanamke, nd...io maana nimetaka kwa hapa kidogo kuzungumzia vyakula vya kuleta ashki


Watafiti wamesema kwamba kuna aina fulani ya vyakula huleta ashki kubwa kiasi cha kuwafanya watu wawe na hamu ya kufanya ngono.
Vyakula hivyo vimedaiwa kuwa na aina fulani za kemikali ambazo hufumua mifumo ya tamaa na kufanya dai la kufanya ngono kuwa na nguvu zaidi.
Kutumia chakula kitamu kwa upungufu na kupata lishe kamili yenye uhakikakunaweza kukufanya wewe kufurahia ngono na kutamani kama masuala hayo yameanza kukimbia.


Yaani ukipata dozi inayotakiwa ya protein, carbs, na fats ni dhahiri utakuwa na nguvu zaidi kuliko hapo awali.
Lakini kabla sijakuchanganya zaidi natakakusema kwamba kuwa na nguvu ni kitu kingine na kuwa na hamu ya kufanya ngono na kuimudu ni kitu kingine.
Yaani ukiwa na uwezo wa kufanya mapenzi na kuwa na nia ya kufanya mapenzi kunatokana na wakati wmingine na aina ya chakula unachokula.
Wazungu wanasema kwamba vipo vyakula ambavyo kwa mchanganyiko wake vinbatoa kitu kinachoitwa kwa kizungu aphrodisiacs, yaani vitu ambavyo vinapandisha libido na kuachia tamaa kubwa ya ngono.


Vyakula hivi vinapunguza rehemu vinaweka sawa kiwanda cha kufanya mapenzi, vinaleta riha nzuri zaidi na kuweka homoni katika namna ambayo inastahili.
Pamoja na kukuongezea hizo hamu lakini vyakula hivyo pia vinatoa nishati ya kukutosha kufanya mapenzi.

Wapo waswali wanaokula ngisi, wapo wanaokula karanga, wapo wanaokula muhogo mbichi, wapo waanaolitengeneza vyema tui la nazi, wapo wanaojua kutumia machicha lakini ninachotaka kusema kama nilivyosema hapo juu ni namna tu ya kupiga chakula ambacho kina kemikali zenye viamsha nyege.
Pia kuna aina ya mvinyo ambayo humfanya binti awe na hamu kubwa ya kufanya mapenzi. wapo wanaozungumzia divai na wapo wanaozungumzia amarula.

By:
LAMKEKU MSECHU via RESERVE GROUP(LADIES) on Facebook.




No comments:

Post a Comment

Thank you for your comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...